Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara (wa nne kulia) katika picha ya pamoja na Wataalam wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) na Wawakilishi wa Kampuni ya Ununuzi wa Maua ya Xiyue mara baada kukutana nao jijini Dar es Salaam 16 Mei 2024.
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (wa nne kushoto) katika picha ya pamoja na Kiongozi Mkuu wa Mamlaka ya Reli ya Jamhuri ya Watu wa China Fei Dongbin (kushoto kwa Waziri Prof. Mbarawa), Balozi wa China Nchini Tanzania Ms. Chen Mingjian (wa nne kulia), Viongozi wa Wizara ya Uchukuzi pamoja na Wataalam kutoka Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) mara baada ya kikao kilichofanyika jijini Dar es Salaam 14 Mei 2024.
Mkurugenzi wa Idare ya Sera na Mipango Wizara ya Uchukuzi, Maseke Mabiki (kushoto) akizungumza na Viongozi wa Bodi za Taasisi zilizo chini ya Wizara katika Viwanja vya Bunge, jijini Dodoma 6 Mei 2024
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile akizungumza na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) , Dkt. Mhandisi Dkt. Prosper Lutangilo Mgaya katika Viwanja vya Bunge jijini Dodoma 6 Mei 2024
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara akizungumza na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Bunge jijini Dodoma 6 Mei 2024.
Sehemu ya Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Uchukuzi wakisikiliza wasilisho la Bajeti lililofanywa na Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa Bungeni jijini Dodoma 6 Mei 2024.
Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi David Kihenzile wakipongezwa na Mawaziri, Manaibu Waziri na Wabunge mara baada ya Bunge kupitisha bajeti ya Wizara jijini Dodoma 6 Mei 2024
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile akifafanua jambo wakati akijibu hoja za Wabunge wakati wa wasilisho la hotuba ya bajeti ya wizara hiyo Bungeni jijini Dodoma 7 Mei 2024.
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akifafanua jambo wakati alipowasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo Bungeni jijini Dodoma 7 Mei 2024.
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile akifafanua jambo wakati alipokutana na Menejimenti ya Mamlaka ya Usafiri Ardhini Tanzania (LATRA), jijini Dar es Salaam.