Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akizungumza na wadau wa Sekta binafsi kabla ya kufunga Kongamano la siku moja Ła wa Wadau wa Sekta binafsi katika Usafiri na Usafirishaji lililofanyika jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Wataalam wanaosimamia mradi wa Kiwanja cha Ndege cha Msalato jijini Dodoma 25 Julai 2024.
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akizungumza na Menejimenti na Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) wakati alipotembelea taasisi hiyo jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akikagua Mradi wa Majengo ya Utawala na Mabweni ya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile akifafanua jitihada zilizofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita kwenye kupunguza foleni ya malori katika Mpaka wa Tunduma kwa wananchi wa mpakani hapo, wakati alipokaribishwa kuzungumza na wananchi hao na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano 18 Julia 2024.
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (kulia) na Rais wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Oman, Mhandisi Ali Nabri wakionyesha mikataba ya ushirikiano katika usafiri wa anga (BASA) mara ya kusaini jijini Dar es Salaam 16 Julai 2024.
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisalimiana na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile wakati alipowasili katika Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga Mkoani Rukwa 16 Julai 2024.
Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile akisalimia wananchi wa Kibaoni Mkoani Katavi wakati wa ziara ya Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mkoani Katavi 15 Julai 2024.
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimsikiliza Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa kuhusu utendaji wa Kiwanja cha Ndege cha Mpanda wakati Mheshimiwa Rais Dkt. Samia alipowasili katika Kiwanja hicho 12 Julai 2024.
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimsikiliza Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa kuhusu utendaji wa Kiwanja cha Ndege cha Mpanda wakati Mheshimiwa Rais Dkt. Samia alipowasili katika Kiwanja hicho 12 Julai 2024.